WAJUMBE WAKIFURAHIA "SELFIE" BAADA YA USAILI WA KARANI WA KIEF TAREHE 23-08-2017
Wajumbe wa KIEF, Astahili Akilimali, Husna Sungura na Ahmadi Sovu wakijiburudisha na "Selfie" baada ya kazi ya Usaili wa Karani wa KIEF uliofanyika Nur Islamic Magomeni Dar es Salaam.