FULANA ZA MFANO ZITAZOTUMIWA NA WANAFUNZI WANAOSHIRIKI MRADI ZIKIKABIDHIWA KWA KAMATI TAREHE 30/07/2017
Mjumbe wa Kamati ya Maandalizi akikabidhi Fulana za mfano zitakazotumiwa na wanafunzi watakaoshiriki mradi wa Masomo ya Ziada utakaoendeshwa na KIEF manispaa ya Kigoma Ujiji. Fulana hizi ni sehemu ya mpango wa kuutangaza mradi kwa Jamii.
Maoni
Chapisha Maoni