This is official Blog for Kigoma Elimu Foundation, which will share information on foundation activities and education in general. Managed by KIEF IT Department
WAJUMBE WAKIENDELEA NA KIKAO CHA MAANDALIZI LEO TRH 24/9/2017
Pata kiungo
Facebook
X
Pinterest
Barua pepe
Programu Nyingine
Wajumbe wa KIEF wakiendelea na kikao cha maandalizi ya program ya masosmo ya ziada inayotarajiwa kuanza mwezi wa Kumi katika kituo cha shule ya msingi Ujiji.
Wajumbe wa KIEF, Astahili Akilimali, Husna Sungura na Ahmadi Sovu wakijiburudisha na "Selfie" baada ya kazi ya Usaili wa Karani wa KIEF uliofanyika Nur Islamic Magomeni Dar es Salaam.
Mjumbe wa Kamati ya Maandalizi "Mwalimu wa Kiswahili"Ahmadi Sovu akipokea meza itakayotumika kwenye mradi ofisi ya KIEF Ujiji kutoka kwa mjumbe wa KIEF Mwalimu Astahili Akilimali siku ya tarehe 30-07-2017 baada ya kikao cha Kamati ya Maandalizi
Picha mbali mbali wakati wajumbe wa KIEF wakipata chakula cha mchana kabla ya kikao cha Mjadala wa Katiba kilichofanyika Nur Islamic Secondary School Magomeni tarehe 27/08/2017.
Maoni
Chapisha Maoni