UPOKEAJI WA MICHANGO MBALI MBALI ILIYOTOLEWA NA WAJUMBE WA KIEF SIKU YA KIKAO TAREHE 13-08-2017

Upokeaji wa Michango mbali mbali iliyotolewa na wajumbe wa KIEF siku ya kikao tarehe 13-08-2017 pale Nur Islamic. Mradi huu hutegemea michango ya wanachama wa KIEF kwa ajili ya utekelezaji. Hapa wakikabidhi michango ya Pesa kwa ajili ya ununuzi wa thamani za Ofisi ya KIEF iliyopo Ujiji Kigoma, mtaa wa Lumumba/Buhoro.








Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii