USAILI WA KARANI WA KIEF ULIOENDESHWA NA JOPO LA USAILI LA KIEF TAREHE 23-08-2017

Wajumbe wa KIEF, wakiendelea na Usaili wa Karani wa KIEF atakaehudumia ofisi ya KIEF iliyopo Ujiji Kigoma, mtaa wa Lumumba/Buhoro. Mradi wa Masomo ya ziada wa KIEF ukiwa hatua za mwisho kabla ya kuanza.




Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii