USAILI WA KARANI WA KIEF ULIOENDESHWA NA JOPO LA USAILI LA KIEF TAREHE 23-08-2017

Wajumbe wa KIEF, wakiendelea na Usaili wa Karani wa KIEF atakaehudumia ofisi ya KIEF iliyopo Ujiji Kigoma, mtaa wa Lumumba/Buhoro. Mradi wa Masomo ya ziada wa KIEF ukiwa hatua za mwisho kabla ya kuanza.




Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

TAARIFA YA KUANZA KWA MRADI WA MASOMO WA KIEF TAREHE 16-10-2017