WAJUMBE WAKIKAGUA MEZA ILOYOTOLEWA NA MMOJA WA WANA KIEF KWA AJILI YA MRADI 30/07/2017

Mjumbe wa Kamati ya Maandalizi "Mwalimu wa Kiswahili"Ahmadi Sovu akipokea meza itakayotumika kwenye mradi ofisi ya KIEF Ujiji kutoka kwa mjumbe wa KIEF Mwalimu Astahili Akilimali siku ya tarehe 30-07-2017 baada ya kikao cha Kamati ya Maandalizi



Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii