FURSA YA UDHAMINI WA ASTASHAHADA YA UUGUZI NA UKUNGA KWA WASICHANA MKOA WA KIGOMA KUTOKA BMB-RTz

Tangazo la Fursa Udhamini wa Elimu kwa Wasichana wa Mkoa wa Kigoma , Elimu ya Ukunga na Uuguzi ngazi ya Astashahada. Ufadhili unaratibiwa na More and Better Midwives For Rural Tanzania. Angalia kipeperushi kwa maelezo zaidi. Mwisho wa Maombi ni Tarehe 30-08-2017


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii