This is official Blog for Kigoma Elimu Foundation, which will share information on foundation activities and education in general. Managed by KIEF IT Department
WAJUMBE WAKIBADILISHANA MAWAZO NA SHEIKH MUHAMMED SAIDI TAREHE 13-08-2017
Pata kiungo
Facebook
X
Pinterest
Barua pepe
Programu Nyingine
Wajumbe wa KIEF wakibadilishana mawazo na Mwandishi wa Vitabu na Makala Sheikh Mohammed Said wakati wa Kikao cha KIEF kilichofanyika Tarehe 13-08-2017
Wajumbe wa KIEF, Astahili Akilimali, Husna Sungura na Ahmadi Sovu wakijiburudisha na "Selfie" baada ya kazi ya Usaili wa Karani wa KIEF uliofanyika Nur Islamic Magomeni Dar es Salaam.
Mjumbe wa Kamati ya Maandalizi "Mwalimu wa Kiswahili"Ahmadi Sovu akipokea meza itakayotumika kwenye mradi ofisi ya KIEF Ujiji kutoka kwa mjumbe wa KIEF Mwalimu Astahili Akilimali siku ya tarehe 30-07-2017 baada ya kikao cha Kamati ya Maandalizi
Picha mbali mbali wakati wajumbe wa KIEF wakipata chakula cha mchana kabla ya kikao cha Mjadala wa Katiba kilichofanyika Nur Islamic Secondary School Magomeni tarehe 27/08/2017.
Maoni
Chapisha Maoni