This is official Blog for Kigoma Elimu Foundation, which will share information on foundation activities and education in general. Managed by KIEF IT Department
WAJUMBE WAKIBADILISHANA MAWAZO NA SHEIKH MUHAMMED SAIDI TAREHE 13-08-2017
Pata kiungo
Facebook
Twitter
Pinterest
Barua pepe
Programu Nyingine
Wajumbe wa KIEF wakibadilishana mawazo na Mwandishi wa Vitabu na Makala Sheikh Mohammed Said wakati wa Kikao cha KIEF kilichofanyika Tarehe 13-08-2017
Mjumbe wa Kamati ya Maandalizi akikabidhi Fulana za mfano zitakazotumiwa na wanafunzi watakaoshiriki mradi wa Masomo ya Ziada utakaoendeshwa na KIEF manispaa ya Kigoma Ujiji. Fulana hizi ni sehemu ya mpango wa kuutangaza mradi kwa Jamii.
IFTAR SESSION FOR KIEF MEMBERS 12-06-2017 AT NUUR ISLAMIC SECONDARY SCHOOL: Members of the KIEF in the picture getting Iftar during Ramadan, after finishing meeting session for the Foundation.
Maoni
Chapisha Maoni