UDAHILI WA WALIMU WATAKAOSHIRIKI KWA KUJITOLEA KWENYE MRADI WA KIEF 12-08-2017
Wajumbe wa Kigoma Elimu Foundation, wakiendelea na udahili wa Walimu watakaoshiriki mradi wa KIEF wa masomo ya ziada, unaotarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni katika Manispaa ya Kigoma Ujiji kwa wanafunzi wa Manispaa hiyo.
Maoni
Chapisha Maoni