MAPOKEZI YA VITABU VILIVYOTOLEWA KWA AJILI YA MRADI WA MASOMO YA ZIADA KATIKA KIKAO TAREHE 13-08-2017

Wajumbe wakipokea na kukagua vitabu vilivyotolewa na wadau kwa ajili ya mradi wa masomo ya ziada kwa wanafunzi wa Shule za Upili za Manispaa ya Kigoma Ujiji, Unaotarajiwa kuanza hivi karibu. Makabidhiano hayo yalifanyika wakati wa kikao cha Wiki cha KIEF kilichofanyika katika shule ya Nur Islamic magomeni.



Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii