KIKAO CHA KIEF TAREHE 3 DESEMBA 2017 NUR ISLAMIC MAGOMENI

Wajumbe wa KIEF wakiwa kwenye kikao cha kawaida kwa ajili ya kupanga shughuli mbali mbali za KIEF. Kikao kilifanyika tarehe 3/12/2017 kwa ajili ya maandalizi ya uzinduzi wa Mradi wa Masomo ya Ziada kwa shule za sekondari ambao umeanza tangu 16/10/2017 katika eneo la Mradi shule ya Msingi Ujiji





Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii