WALIO MBALI HUSHIRIKI VIKAO KWA NJIA YA MTANDAO
Wajumbe wakimsikiliza kwa makini Mjumbe wa KIEF Bakari Issa alliye masomoni India akiwasilisha maoni yake kuhusu katiba ya KIEF kupitia njia ya mtandao katika kikao cha tarehe 27/08/2017. Njia hii imekuwa ikiwapa fursa walio mbali kushiriki vikao moja kwa moja kwa njia ya mtandao.
Maoni
Chapisha Maoni