This is official Blog for Kigoma Elimu Foundation, which will share information on foundation activities and education in general. Managed by KIEF IT Department
WAKATI WA KUBADILISHANA MAWAZO KABLA YA KIKAO CHA TAREHE 27/08/2017
Pata kiungo
Facebook
X
Pinterest
Barua pepe
Programu Nyingine
Wajumbe wa KIEF wakibadilishana mawazo kabla ya kikao cha kujadili katiba cha tarehe 27/08/2017
Wajumbe wa KIEF, Astahili Akilimali, Husna Sungura na Ahmadi Sovu wakijiburudisha na "Selfie" baada ya kazi ya Usaili wa Karani wa KIEF uliofanyika Nur Islamic Magomeni Dar es Salaam.
Wajumbe wa KIEF wakiendelea na kikao cha maandalizi ya program ya masosmo ya ziada inayotarajiwa kuanza mwezi wa Kumi katika kituo cha shule ya msingi Ujiji.
Picha mbali mbali wakati wajumbe wa KIEF wakipata chakula cha mchana kabla ya kikao cha Mjadala wa Katiba kilichofanyika Nur Islamic Secondary School Magomeni tarehe 27/08/2017.
Maoni
Chapisha Maoni