This is official Blog for Kigoma Elimu Foundation, which will share information on foundation activities and education in general. Managed by KIEF IT Department
Pata kiungo
Facebook
X
Pinterest
Barua pepe
Programu Nyingine
IFTAR SESSION FOR KIEF MEMBERS 12-06-2017 AT NUUR ISLAMIC SECONDARY SCHOOL:
Members of the KIEF in the picture getting Iftar during Ramadan, after finishing meeting session for the Foundation.
Wajumbe wa KIEF, Astahili Akilimali, Husna Sungura na Ahmadi Sovu wakijiburudisha na "Selfie" baada ya kazi ya Usaili wa Karani wa KIEF uliofanyika Nur Islamic Magomeni Dar es Salaam.
Wajumbe wa KIEF wakiendelea na kikao cha maandalizi ya program ya masosmo ya ziada inayotarajiwa kuanza mwezi wa Kumi katika kituo cha shule ya msingi Ujiji.
Picha mbali mbali wakati wajumbe wa KIEF wakipata chakula cha mchana kabla ya kikao cha Mjadala wa Katiba kilichofanyika Nur Islamic Secondary School Magomeni tarehe 27/08/2017.
Hiu ilikuwa nzuri sana mashaalah
JibuFuta